swc_mat_text_reg/13/54.txt

1 line
407 B
Plaintext

\v 54 Na kisha Yesu aringiya mu mugini na akaanza ku wa fundisha mu sinagogi yao. Bale bariishiya barikaanza kushanga na kusema: « Wapi ku na tokea hekima ya huyu mutu na muijiza?» \v 55 Huyu mutu ana mutoto wa mufwanya ma mbao? Na mari ashikukuye mama yake? Yakobon Yusufu, Simeoni na Yuda abakukuya banduku yake? \v 56 Na ba dada tena haba kukuya katikati yetu? Sasa huyu mutu anatosha wapi hiyi maneno?