swc_mat_text_reg/01/01.txt

1 line
286 B
Plaintext

\c 1 \v 1 Yesu Kristu mutoto wa Daudi tena mutoto wa Ibrahimu. \v 2 Ibrahimu alimuzala Isaka, na Isaka alimuzala Yakobo, na Yakobo alimuzala Yuda na ba ndugu yake. \v 3 Yuda naye alimuzala Peresi na Zera na mama Yabo arikuya Tamari, na Tamari arimuzala Esromu na Esromu alimuzala Aramu.