swc_mat_text_reg/17/19.txt

1 line
424 B
Plaintext

\v 19 Kisha bana funzi baka zo geya mbele ya Yesu kusini na baka sema: " djuya nini atuku ba fukuza". \v 20 Yesu na bambiya kwa ukuli, kama muko na imani tu kidogo sa vile punje ya mbego, muna weza kwambiya ku ile kilima, "udji bebe kutoka apa na wende kule", akaji beba na akuna kitu kenye kita bashinda". \v 21 [Zingatia mambo ya mustari ya makumi mbili na moya " lakini, mapepo kama iyi ina toka tu ku moambi na kufunga].