swc_mat_text_reg/17/14.txt

1 line
317 B
Plaintext

\v 14 Wa kati balirudia kukikundi ya batu, mutu moya aka kuya mbele ya yasu, na kupiga magoti mbele yake. \v 15 Na akasema:" Bwana, umurumie mutoto wangu sababu ana kwaka na kifafa na ana teseka sana. Kwakuwa, ana angukaka mingi ku moto na ku mayi. \v 16 Mina mubeba kwa banafunzi yako lakini abakuweza kumu ponesha".