swc_mat_text_reg/05/46.txt

1 line
395 B
Plaintext

\v 46 Ju kama una penda tu benye bana ku pendaka , malipo gani inye utapata ku ile ? Na ata benye bana lipishaka kodi nabo bana ifanyaka muna patshwa ku fanya muzuri kupita yabo. \v 47 Na kama muna salimiya tuba ndugu yenu, nini yenye muna fanya ya muzuri kuzidia begine? Ata ba pagano bana ifanya ka mingi. \v 48 Jo mana muna patshwa bamilifu, sa vile baba yenu wa mbinguni anakwaka mukamilifu.