swc_mat_text_reg/05/43.txt

1 line
351 B
Plaintext

\v 43 Mulisikia balisema " utpenda jirani yaka na uta mutshukia adui yako". \v 44 Lakini miye na bambiya: " mupende ba adui yenu na mu ombeye benye biko na basa . Jo muna kua ba toto ya baba yenu mwenye iko ku mbinguni . \v 45 Ju iko na lamusha yuwa ku batu ba baya na ku batu bazuri, na ana tumia nvula ku batu benye bikona imani na benye abana inani