swc_mat_text_reg/05/33.txt

1 line
320 B
Plaintext

\v 33 Tena mulisikia bana sema kwa ba nka mbo yetu (batatel, ba nzee betu) : musifanya malapo ya bongo lakini mubebe ye mufalme malapo yenu". \v 34 Lakini musilape ku mbingu sababu ni kiti ya utu kufuya Mungu. \v 35 Na ata apa ku dunia ju ni kwenye Mungu anatembeleyaka; na ata yerusam ju ni mungini munene ya mfalme .