swc_mat_text_reg/28/05.txt

1 line
412 B
Plaintext

\v 5 Ule malaika aka ambiya bale banamuke akasema: «musi tetemeke vile, naisha kujuwa muko natafuta uyu Jesu bali uwiya ku musalaba. \v 6 6Hana tena mukaburi, lakini ana isha kufufuka sawa vile alisema. Mukuye tu muone na penye Bwana alilalia. \v 7 Musikawiye, mwende muka baambiye banafunzi yake: «Ana isha kufufuka toka bafu, mu one, anamitanguria pale Galilea. Kule njo muta mu ona.» miye uyumi na miambia.