swc_mat_text_reg/27/59.txt

1 line
397 B
Plaintext

\v 59 Josefi akatosha mwili wa Yesu, kuitengeneza, ikaifunga mu ma nguo ya kuzikia batu ya mupya. \v 60 Na kuijika mukarburi yake ali chimburishaka katikati ya maibwe. Kisha akanga mulango ya kaburi na lijiwe ya munene sana. Kisha akanga mulangoya kaburi na lijiwe ya munene sana aka rudia kwake. \v 61 61Lakini Malia waku Magadala naule Malia mwingine, bo balibakiyaka paka pale mbele lya kaburi.