swc_mat_text_reg/27/57.txt

1 line
215 B
Plaintext

\v 57 Ku magaribu, mutajiri moya waku alimatea, jina lake Yosefi akafika pale. \v 58 Naye alikuyaka mwanafunzi wa Yesu kwa uficho. Ali fikaka kwa Pilato ku mulomba mwili wa Yesu. Naye Pilato ali leta oda bamupe ayo.