swc_mat_text_reg/27/54.txt

1 line
523 B
Plaintext

\v 54 Na ule kamanda (ki ongozi) wa ba soda na bale bote balikuya beko na chunga, na kwangaliliya Yesu, pale bali ona inchi kutetemeka, na bile byote bilifanyika pale balisikiya boka sana na kusema: " Byakweri tu, uyu mutu alikuya mutoto wa Mungu". \v 55 Bana muke bale balianza kumufwata tangia Galilaya, bali anza kumu pikia na kumu tumikia makazi ya mikono, bali kuya paka pale, beko na angalilia. \v 56 Pa moja nabo sawa MAlia wuku Magadala Malia mama yake na Yakobo na Josefi, na mama wa ba toto ya Zebedayo vile vile.