swc_mat_text_reg/27/48.txt

1 line
300 B
Plaintext

\v 48 Pale pale, mutu moya kati yao akaenda mbiyo na kubeba kifongo akati tanta mu binywaji bya bu chacho, aki chomeka ku litete aka mutia kyoku kinwa juu akunwe. \v 49 Benye kaza rau baka sema: " Mu muache, tu one kama Eliya atamu okea". \v 50 Ena Yesu akalalamika kwa sauti ya nguvu na kukata roho.