swc_mat_text_reg/27/35.txt

1 line
289 B
Plaintext

\v 35 Baka isha tu kumu pikia misumari ku musalaba, baka kabulana manguo yake mu kupika kura. \v 36 Nabakaikala pale bachunge vile atakufa. \v 37 Baka andika mbao kamoya baka kapopolea yulu ya kichwa yake ile masitaki yenye bali mu uwiya. Bali andika asema "uyu ni Yesu mufalme wa bayuda".