swc_mat_text_reg/27/32.txt

1 line
331 B
Plaintext

\v 32 Baka toka naye inje, pale bakakutana na Simoni mutu wa mu kulene (Libia), wakamubamba ku nguvu ende nabo amubebeye Yesu musalaba. \v 33 Baka fika pafasi bana ita Goligota, maana yake "fasi pa mifupa ya kichwa". \v 34 Baka penda ba munwishe pombe ya kuchanga na mai ya buchacho. Akapita tu ku milomo, na aka katala ku bikunwa.