swc_mat_text_reg/27/27.txt

1 line
461 B
Plaintext

\v 27 Kisha ba soda bale liwali ali leta baka enda naye mu ile chumba mule bana sambishiyaka batu. Na ba soda bote bali kuya mu kazi ile siku bakamuchangi ya pale. \v 28 Bakamu vula ma nguo yake na kumu vwika nkanzo kya moya mwekundu sawa Damu. \v 29 Baka suka kitaaji kya mi iba, bakamu vwika kyo pakichwa yake bakamupa na muti wa bakubwa mu mukono wake wa ku ume. Wamupikia magoti, na kumu zarau vile baitenda na kusema naye, "heshima kwako mufalme wa Bayuda.