swc_mat_text_reg/27/17.txt

1 line
427 B
Plaintext

\v 17 Hivi batu bali yala ba mingi mbele ya nyumba yake, Pilato aka uliza: " katikati ya Yesu anaitwa Kristo na balabasa, ni nani muna pendani mwa chiliye ende?" \v 18 Alijuwa tu yakusema ni kwa bwivu tunjo balimu bamba Yesu. \v 19 Ile saa ile Pilato ali ikala pa kiti ile ana sambishiyaka batu, bibi yake akamutumia mjumbe aseme: "Usifanye ata kitu moya kwa ule mutu washo makosa, juu yake nalota ndoto ina ni hanganisha sana.