swc_mat_text_reg/27/11.txt

1 line
396 B
Plaintext

\v 11 Ile wakati bakamuleta Yesu mbele ya liwali, na yeye aka mu uliza: "Wenjo mufalme wa bayuda? Yesu akamu jibu" "paka vile unasema". \v 12 Lakini, pale bakubwa baba kuhani na bazee ba mugini bali leta na masitaki yabo, Yesu alikuya kimia, pasipo kujibu \v 13 Kisha, Piulato akasema naye: "Hausikie bile byote beko naku staki?". \v 14 Pale tena hakusema ata neno moya na liwali akashangalasana.