swc_mat_text_reg/27/06.txt

1 line
531 B
Plaintext

\v 6 Bakubwa ba bakuhani bakalokotesha bile bipande bya feza, bakasema: "a ina sheria muzuri kuweka hii feza mu mu fasi tunachungiyaka yote juu hii ni fezaya damu". \v 7 Bakaanza ku bishana pale bote kisha na ile feza, bakauza nayo mashamba ili kuya ya mutu wa kufanya mitungibanze ku zika mo bageni. \v 8 Juu ya ile mawazo mashamba ile bana anza kuita : ma shamba ya damu" kufika na leso. Njo pale bile Yeliya ali tabiriaka bilifika, aseme. "Baka beba bipande makumi tatu bya feza, ndo bei batoto ya Isaia ele bata mu uzisha nayo.