swc_mat_text_reg/27/03.txt

1 line
406 B
Plaintext

\v 3 Na ile wakati Yuda ule ali mukabula ku bakubwa, pale ali ona aseme Yesu banamukatia kufa, aka anza kutu bu na akarudisha ile feza bipande makumi tatu ku bakubwa ba bakuhanina ku bazee, \v 4 Na kusema: "na fanya Nzambi pa kumikaburia mutu washo nkosa". Na baka mwambia: "ile inatwangaria shie ku nini? Ile ni mambo yako". \v 5 Naye aitupa ile feza yote ndani ya hekalu, kutoka pale akaenda kuritundika.