|
\v 69 Na wa kati ule Petro alikuwa mwenye kwikila inje pembeni ya tribunale , na mutunishi moya mwana muke alifika pembeni yake aka muliza , na weye uli kuwa pa moya na Yesu wa Galilaya. \v 70 Lakini aka kana mbele yabo bote akasema sijuwe ata neno moya yenye ukpo nasema. |