swc_mat_text_reg/26/65.txt

1 line
261 B
Plaintext

\v 65 Mara muya mukubwa wa makahani akapusula manguo yake na akasema, ana zarawu Mungu, juu ya nini mukona chunga tena ushada wengine? Angaliya siye bote tuna musikiya ana muzarawa Mungu. \v 66 Aka bahuliya sasa muna sema nini? Bakajibu bote , anastahili kufa.