swc_mat_text_reg/26/62.txt

1 line
399 B
Plaintext

\v 62 Kuhani mukubwa akasibama na kumuliza hauwezi kujibu? Kwamambo yote bana kusemeya. \v 63 Laki Yesu asikumujibu ata neno moya mukubwa wanakuhani akamwambiya katika jina la Mungu, na kuomba utwambiye kama weye ni Kristo mtoto wa Mungu. \v 64 Yesu aka mujibu, weye mwenyewe undisha kusema yote , lakini na kwambiya , kwanza sasa na kwendeleya utamuona mtoto wa mtoto wa mutu mwenye kwikala kumkono