swc_mat_text_reg/26/59.txt

1 line
360 B
Plaintext

\v 59 Kwa lakini bakubwa ya makuhani na batu yote ya baraza, bakanza ku tafuta neno moya ya bongo yaku mudanganyiya Yesu kwa sababu ba mukuwe. \v 60 Aba kupata ata neno moya ya mubaya ingawa kulikuwa batu mingi ya ku mudanganyiya kisha batu mbili baka fika. \v 61 Na kusema mutu uyu alisema, ata weza kuvunja kanisa kwa siku moya na kuijenga tena kwasiku tatu.