swc_mat_text_reg/26/51.txt

1 line
546 B
Plaintext

\v 51 Angaliya mutu moya aliyekuwa pamoya na Yesu, akanyolosha mukkono wake na ku chukuwa mpanga na aka mupika mutumishi wa kuhani mukubwa na aka mukamata lisikiyo . \v 52 Kisha Yesu aka mwambiya rudisha mupanga wako fasi uli itosa, kwasababu mutu wote mwenye ku uwa na mupanga na ata kufa kwa mupanga. \v 53 Muna wajiya kama siwezi kumu ita baba yangu na yeye atashindwa kuni tuniya zaidi ya na batalyani kumi na mbili ya baba askari ya bamalaika? \v 54 Lakini mambo yote iyi ina tendaka juu yaku timi liza ma andiko na ilipasha ku fanyika ivi ?