swc_mat_text_reg/26/47.txt

1 line
323 B
Plaintext

\v 47 Na wakati alikuwa akingali nasema, moya wabanafunzi bake kumi na mbili Yuda akafika na kikundi kikubwa kya batu pa moya na bakubwa ya makuhani na bazee ya batu balikuwa na mipanga piya namikuki . \v 48 Na ule mutu ali mutowa Yesu alibapatiya ala ma akisema ule miye nita muso geleya na kumubusu joo Yesu mumu kamate.