swc_mat_text_reg/26/45.txt

1 line
247 B
Plaintext

\v 45 Na kisha Yesu aka barudiliya bana funji bake na akambiya muna lala na muna enndeleya kupumuzika? Angaliya wakati ina eneya mutoto wa mutu atepewa katika mikono ya bapagano. \v 46 Mulamuke twende kwasababu ule ata nitowa eko karibu na kufika.