swc_mat_text_reg/26/42.txt

1 line
361 B
Plaintext

\v 42 Yesu akarudiya tena kuomba na akisema baba yangu kama mambo iyi aiwezikane kuepuka ni kunywe tu kikomba iki, mapenzi yako ifanyike. \v 43 Akarudi tena, na aka kutu ba na funzi bake bana lala busingizi kwa sababu macho yabo ili kuwa yakuchoka. \v 44 Kisha aka ba lacha na akarudiya lwake kwenda kuomba mara ya tatu na akisema kama vile aliosema tena mbele.