swc_mat_text_reg/26/39.txt

1 line
497 B
Plaintext

\v 39 Aka chofa mbele kidogo , kisha aka anguka kifulifuli na kuomba akisema baba yangu kama ina we zekana kikombe kiki kini pitiye mbali , lakini isikuwe kama vile miye na penda, lakini ikuweka ma vile we ye una penda. \v 40 Kisha akarudiya kuangaliya banafunzi bake na aka bakuta bote bana lala busingisi na aka mwambiya Petro, juu ya nini muna shindwa kuomba pamoya na miye ata saa moya. \v 41 Mukeshe na kuomba kwa sababu musiya ribiwe na shetani, roho iko na ngufu lakini mwili ni ya kulekeya