swc_mat_text_reg/26/36.txt

1 line
366 B
Plaintext

\v 36 Kisha Yesu akahenda na bana funji bake fasi moya ina itwa Gethsemane na aka ambiya bana funzi bake, mwikale apa lakini miye maenda kule kuomba. \v 37 Aka beta Petro na bana funzi mbili batoto ya zebedayo, na aka anza ku uzunika na ku zorotika. \v 38 Kisha aka ba bambiya roho yangu ina uzuni mukubwa sana karibu ya kufa, mubakiye apa na muomba pa moya na miye.