swc_mat_text_reg/26/30.txt

1 line
278 B
Plaintext

\v 30 Wa kati balimaliza kwimba mwimbo, baka panda kumulima wa mizehituni. \v 31 Kisha aka bahambiya, busiku yaleo mwe bote muta ni kimbiya , kwasa babu ili andikwa, ni tapika muchungaji na kondolo yote ita zambala. \v 32 Lakini kisha kufufuka kwanga, nita mita nguliya Galilaya