swc_mat_text_reg/26/17.txt

1 line
440 B
Plaintext

\v 17 Siku ya kwanza ya mikate ya bila dawa, bana funzi yake baka mufukiya Yesu na kusema pasi gani una penda twende tuka kutarishiye chakula ya pasaka? . \v 18 Aka bajibu, mwende ku mugini kunyumba ya mutu moya , na mumwam biye kama , mwalimu anasema wakati yangu ina eneya nanita kula chakula ya pasaka ku nyumba yako pamoya na bana funzi bangu. \v 19 Bana funzi yake baka fanya vile Yesu ali batuma , na baka tayarisha chakula ya pasaka.