\v 10 Lakini Yesu akajuwa mawazo yabo yote aka bahambiya , juu ya nini muna mutombokeya mwana muke uyu? Ana fanya mambo moya mujuri juu yangu . \v 11 Siko yote muta kuwa pa moya na ba masikini, lakini miye siwezi kuwa na mweye siku yote