swc_mat_text_reg/26/06.txt

1 line
426 B
Plaintext

\v 6 Wakati Yesu alikuwa Betani ndani ya nyumba ya Simon wa magonjwa ya bukoma . \v 7 Wakati alikuwa kumeza mwana muke moya alikuya kwake akiwa na chupa ya mafuta ya beyi kali na akamu mwangiya Yesu kuki chawa kyake. \v 8 Wakati bana funzi bake bakaona ivi bote baki kasirika sana, na kusema juu ya nini ana habaribisha mafuta ya beyi kali ivi ? \v 9 Mfuta iyi tulipasha ayo kubeyi kali na kupatisha ya ba masikini makuta iyi.