swc_mat_text_reg/25/34.txt

1 line
413 B
Plaintext

\v 34 Halafu mfalme atawaambia wale wanaokuwa kwa upande wake wa kuume: «Mukuje, ninyi muliobarikiwa na Baba yangu; muingie katika Ufalme muliotayarishiwa tangu kuumbwa kwa dunia. \v 35 Kwa maana nilisikia njaa, mukanipa chakula; nilisikia kiu, mukanipa maji; nilikuwa mugeni, mukanikaribisha; \v 36 nilikuwa uchi, mukanipatia nguo; nilikuwa mugonjwa, mukanisaidia; nilikuwa katika kifungo, mulikuja kuniangalia.