swc_mat_text_reg/25/26.txt

1 line
272 B
Plaintext

\v 26 Naye bwana wake akamujibu: “Wewe mtumishi mubaya na muvivu! Ulijua kama ninavuna nafasi nisipopanda, na kukusanya nafasi nisiposambaza. \v 27 Basi, ungepaswa kuweka mali yangu ndani ya banki, kusudi siku ya kurudi kwangu, ningepata mali yangu pamoja na faida yake.