swc_mat_text_reg/25/22.txt

1 line
354 B
Plaintext

\v 22 Halafu mtumishi aliyepewa furushi mbili akakuja, akasema: “Bwana, umenipatia furushi mbili; na sasa angalia, kuna faida ya zingine mbili.” \v 23 Bwana wake akamwambia: “Ni vizuri, wewe mtumishi mwema na mwaminifu. Ulikuwa mwaminifu katika ulinzi wa mali ndogo, basi nitakuweka kuwa mulinzi wa mali mingi. Kuja ufurahi pamoja na bwana wako!”