swc_mat_text_reg/25/19.txt

1 line
504 B
Plaintext

\v 19 Kulipopita siku nyingi, bwana wa watumishi wale akarudi, akafanya hesabu ya mali yake pamoja nao. \v 20 Yule mtumishi aliyepewa furushi tano za zahabu, akakuja, akaleta faida ya zingine tano. Na akasema: «Bwana, umenipatia furushi tano za zahabu, na sasa angalia, kuna faida ya zingine tano. \v 21 Bwana wake akamwambia: “Ni vizuri, wewe mtumishi mwema na mwaminifu. Ulikuwa mwaminifu katika ulinzi wa mali ndogo, basi nitakuweka kuwa mulinzi wa mali mengi. Kuja ufurahi pamoja na bwana wako.”