swc_mat_text_reg/24/40.txt

1 line
255 B
Plaintext

\v 40 Kuwa hiyo ndani batu bawili banye batakuwa ku shamba-bakamata moja, na moja atabakia. \v 41 Banamuke ba wili bakuwa banasanga pamoja umoja atakamatuwa na moja atabakia. \v 42 Kwa hiyo mujichunge kwa sababu hameyuwe siku gani enye bwana wenu atakuya.