swc_mat_text_reg/24/23.txt

1 line
319 B
Plaintext

\v 23 Kwa hiyo kama mutu yote anakwambia: « Angalia, Kristo iko apa! au Kristo iko kule musi mu amini. \v 24 24Kwa sababu kutakuya ba Kristo babongo na banabii babongo na bataonyesha ishashara (malama) kabambi na majabu ju ya kupoteza, kama inawezekana ata na bateule. \v 25 25Angaliya nabaambia mbele iyo mambo ifeke.