1 line
377 B
Plaintext
1 line
377 B
Plaintext
\v 6 Mutasikia vita na malalamiko ya vita. Musichanganike bichwa, ju inaomba mambo iyi ifanyikike; lakini, haiko bado mwisho. \v 7 Kwa sababu taifa moja ita simamia taifa ingine; na ufalme ita simamia ufalme ingine. Kutakuwa na njala na matetemeko ya udongo ma fasi mbali. \v 8 Lakini ile yote iko mwanzo ya maumivu tu ya buchungu ya kujifungua. (Uchungu ya kuza yu mwanamuke). |