swc_mat_text_reg/24/03.txt

1 line
381 B
Plaintext

\v 3 Alikuwa anaikala yulu ya mulima ya olivia, banafunzi bake bana mufuata na bakamuliza «Utuambie ile mambo yote itafanyika wakati gani ? nini itaonyesha alama ya ku kuya yako mwisho wa dunia?» \v 4 Yesu alibajibia na akabaambia: «Mujichunge na mutu asibaola nganye. \v 5 Kwa sababu batu mingi batakuya mu jina yangu na batasema: « Miye njo Kristo», na batu mingi batapotea.