swc_mat_text_reg/24/01.txt

1 line
266 B
Plaintext

\c 24 \v 1 Yesu alitoka kuhekalu anarudia kwake. Banafunzi wake baka musungelea na banomoonyesha majengo ya hekalu. \v 2 Lakini alibajibia, «Hamuyaona bado mamboile yote ? Kweli nabaambia, hakuma lijewa hata moja enye itabakia yulu ya lijewa ingine bila kuanguka.»