swc_mat_text_reg/23/23.txt

1 line
391 B
Plaintext

\v 23 Ole kwenu, ninyi walimu wa Sheria na Wafarisayo, ninyi wanafiki! Munatoa fungu moja la kumi la vijani vya kukoleza chakula, lakini mumeacha mambo makubwa yanayoamuriwa na Sheria, kama vile haki, huruma, na uaminifu. Mambo hayo ndiyo muliyopaswa kushika pasipo kuacha mengine. \v 24 Ninyi waongozi vipofu! Munapokunywa, munachuya imbu toka katika vinywaji vyenu, lakini munameza ngamia!