swc_mat_text_reg/23/16.txt

1 line
324 B
Plaintext

\v 16 Ole kwenu, ninyi waongozi vipofu! Ninyi munaosema kwamba mtu akiapa kwa jina la hekalu, si kitu; lakini kama akiapa akitaja zahabu inayokuwa ndani ya hekalu, anapaswa kutimiza kiapo chake. \v 17 Ninyi wapumbafu na vipofu! Ni nini inayokuwa kubwa zaidi, zahabu au hekalu linaloifanya zahabu ile ihesabiwe kuwa takatifu?