swc_mat_text_reg/23/08.txt

1 line
312 B
Plaintext

\v 8 Lakini ninyi musikubali kuitwa Mwalimu, kwa maana ninyi wote ni wandugu, nanyi muko na Mwalimu mmoja tu. \v 9 Vilevile hapa katika dunia musimwite mtu yeyote Baba kwa maana muko na Baba mmoja tu, anayekuwa mbinguni. \v 10 Musikubali kuitwa Waongozi, kwa maana muko na Mwongozi Mkubwa mmoja tu, ndiye Kristo.