swc_mat_text_reg/23/01.txt

1 line
306 B
Plaintext

\c 23 \v 1 Halafu Yesu akawaambia makundi ya watu na wanafunzi wake: \v 2 Walimu wa Sheria na Wafarisayo wamepewa madaraka ya kueleza Sheria ya Musa. \v 3 Basi kwa hiyo munapaswa kuwatii na kushika maneno yote wanayowaambia; lakini musifuate matendo yao, kwa maana mambo wanayoyasema, si ndiyo wanayofanya.