swc_mat_text_reg/22/29.txt

1 line
217 B
Plaintext

\v 29 Lakini Yesu aka bafibiya na akasema "Muko na ma kosa, ju amu elewi maandiko, na ata nguvu ya Mungu. \v 30 Sababu kwa ufufuko, atuta wowa na atuta tuma ku wowasha, lakini, tu takuwa kama ba malaika kule mbinguni.