swc_mat_text_reg/22/23.txt

1 line
237 B
Plaintext

\v 23 Na ile siku, wa sadukaye ambae balikuawa na sema kama ufufuko ayiko bali kuya mbele yake. Na bali mu lomba. \v 24 "Mwalimu, Musa alisema," kama mtu anakufa bila kwacha mtoto, ndugu yake ata wowa bibi yake ju ya kuzala na ye batoto.