swc_mat_text_reg/22/20.txt

1 line
281 B
Plaintext

\v 20 Yesu aka bambiya, ii sura ya nani na iijina? \v 21 Baka mwambiaya, "Ni ya Kaisari" kisha, Yesu aka bambiya, "Mupatie Kaisari yote yenye iko ya Kasairi na ya Mungu ile yote yenye iko ya Mungu. \v 22 Wakati balisikiya vile, batu balisha nga sona. Kisha bali mwasha na akaenda.