swc_mat_text_reg/21/43.txt

1 line
285 B
Plaintext

\v 43 Jo mana mi na bambiya, bata batosha ufalme wa Mungu na ita paniwa ku inshi ingine yenye ita tosha matunda. \v 44 Kila mutu yote mwenye ita tosha matunda. Kila mutu yote mwenye ata anguka kwa iyi lijiwe ata katiwa ku bipande, bipande. Lakini, kwa uyu itangu kia ata ponde kana."»